TRAVEL ADVISORY NO. 10 OF 16TH MARCH, 2022
Read More
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimesaini makubaliano maalum (Memorandum of Understanding on Academic and Research Cooperation between the University of Dar es Salaam and the the University of Addis Ababa).…
Read MoreBi. Consolata Mushi, Mtendaji Mkuu wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) yupo kwenye ziara ya kikazi nchini Ethiopia kuanzia tarehe 01-07 Februari 2022. Katika ziara hiyo, Bi. Consolata Mushi amekutana na…
Read MoreMkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika unaofanyika Addis Ababa, Ethiopia umeridhia Kiswahili kuwa Lugha ya Kazi ya Umoja wa Afrika. Ajenda ya kupendekeza Kiswahili kuwa Lugha ya Kazi…
Read MoreMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 05 Februari 2022 ameshiriki ufunguzi wa Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika unaofanyika…
Read MoreMhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasili Addis Ababa, Ethiopia leo tarehe 4 Februari 2022 kwa ajili ya kumwakilisha Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri…
Read MoreMkutano wa 40 wa Baraza la Mawaziri wa Umoja wa Afrika umeichagua Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mjumbe wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika kwa kipindi cha miaka miwili (2022-2024) kwenye…
Read MoreMheshimiwa Balozi Mbarouk N. Mbarouk (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Mkutano wa 40 wa Baraza la Mawaziri wa…
Read More