News and Resources Change View → Listing

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yapata Nafasi ya Uongozi wa Kamati ya Uongozi wa Bureau ya STC

Kufuatia ajenda za mkutano wa Kawaida wa Mawaziri wa Fedha, kulifanyika uchaguzi wa Kamati ya Ungozi ya Bureau ambapo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepata nafasi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kwanza kwenye…

Read More

Ushiriki wa Tanzania Kwenye Mkutano wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri wa Sekta ya Fedha.

Tarehe 29 Septemba Hadi tarehe 3 Oktoba, 2025 Johansburg, Afrika Kusini unafanyika mkutano wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri wanaosimamia masuala ya Fedha Uchumi na Utengamano (8th Ordinary Session of the STC…

Read More

Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia katika kikao cha Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabiti Kombo, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 1303 wa…

Read More

Tanzania & Djibouti | Deepening Maritime and Trade Cooperation

H.E. Amb. Innocent Shiyo paid a courtesy call on Mr. Aboubaker Omar Hadi, Chairman of Djibouti Ports & Free Zones Authority. The meeting reaffirmed the strong commitment of 🇹🇿 and 🇩🇯 to advance…

Read More

Ubalozi washiriki Warsha ya Mafunzo kuhusu Utatuzi wa Migogoro barani Afrika

Tarehe 24 -28 Februari, 2025, Ubalozi wa Tanzania, Addis Ababa, uliungana na watumishi wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika wanaohusika na masuala ya Siasa, Amani na Ulinzi (AUC – PAPs) na Baraza la Amani na…

Read More