News and Resources Change View → Listing

Balozi Innocent Shiyo awasilisha Hati za Utambulisho kwa Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya Uchumi Afrika (UNECA)

Leo tarehe 06 Mei 2022, Mhe. Innocent Eugene Shiyo, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Kamisheni Umoja wa Mataifa ya Uchumi Afrika (United Nations Economic Commission…

Read More

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam chasaini Mkataba wa Ushirikiano na Chuo Kikuu cha Addis Ababa- Ethiopia

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimesaini makubaliano maalum (Memorandum of Understanding on Academic and Research Cooperation between the University of Dar es Salaam and the the University of Addis Ababa).…

Read More

BAKITA kushirikiana na Ethiopian Swahili Community kuendeleza na kukuza matumizi ya Kiswahili nchini Ethiopia

Bi. Consolata Mushi, Mtendaji Mkuu wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) yupo kwenye ziara ya kikazi nchini Ethiopia kuanzia tarehe 01-07 Februari 2022. Katika ziara hiyo, Bi. Consolata Mushi amekutana na…

Read More

Kiswahili chapitishwa kuwa Lugha ya Kazi ya Umoja wa Afrika

Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika unaofanyika Addis Ababa, Ethiopia umeridhia Kiswahili kuwa Lugha ya Kazi ya Umoja wa Afrika. Ajenda ya kupendekeza Kiswahili kuwa Lugha ya Kazi…

Read More

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 05 Februari 2022 ameshiriki ufunguzi wa Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika unaofanyika…

Read More

Mhe. Dkt. Philip I. Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awasili Addis Ababa, Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika

Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasili Addis Ababa, Ethiopia leo tarehe 4 Februari 2022 kwa ajili ya kumwakilisha Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri…

Read More

Tanzania yachaguliwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika kwa kipindi cha miaka miwili

Mkutano wa 40 wa Baraza la Mawaziri wa Umoja wa Afrika umeichagua Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mjumbe wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika kwa kipindi cha miaka miwili (2022-2024) kwenye…

Read More