News and Resources Change View → Listing

Mhe. Tomer Bar-Lavi

Mhe. Tomer Bar-Lavi, Naibu Balozi wa Israel nchini Ethiopia akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Read More

Mhe.  Tebelelo Alfred Boang

Mhe.  Tebelelo Alfred Boang, Balozi Mteule wa Botswana nchini Ethiopia akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa…

Read More

Bw. Mohammad Ali Shamsipour

Bw. Mohammad Ali Shamsipour, Mwakilishi wa Balozi wa Iran akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Read More

Mhe. George Morara Orina

Mhe. George Morara Orina, Balozi wa Kenya nchini Ethiopia akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Read More

Bi. Patricia Yeboah

Bi. Patricia Yeboah, Mwakilishi wa Balozi wa Ghana nchini Ethiopia akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Read More

Bw. Karim Ouepia Idogo

Bw. Karim Ouepia Idogo, Kaimu Balozi wa Burkina Faso nchini Ethiopia akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Read More

Mhe. Yema Flora Dos Santos Silva

Mhe. Yema Flora Dos Santos Silva, Naibu Balozi wa Angola akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Read More

Mhe. Maes Ennio

Mhe. Maes Ennio, Balozi wa Côte d'Ivoire nchini Ethiopia akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Read More