Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa 36 wa Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2023. Mkutano huo ulifanyika katika Ukumbi wa Nelson Mandela na kushirikisha Wakuu wengine wa Nchi za Umoja huo.
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa 36 wa Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 18 Februari, 2023. Mkutano huo ulifanyika katika Ukumbi wa Nelson Mandela na kushirikisha Wakuu wengine wa Nchi za Umoja huo.